Katika hatua nyingine,Serikali imetakiwa kuingilia kati migogoro ya
wamachinga nchini.
Akiomba mwongozo Bungeni mjini Dodoma, Mbunge wa Nyamagana, Ezekiel
Wenje, ameitaka serikali kusitisha zoezi hilo ili kutafuta njia mbadala ya
kushughulikia migogoro kati ya serikali na wamachinga.
Naye Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge),
William Lukuvi, amesema kuwa Serikali inashughulikia suala hilo ili kubaini
ukweli na itatoa taarifa Bungeni baada ya kuhakikisha tukio hilo.
|
Post a Comment