Header Ads

ENGLAND WATUA BRAZIL NA ULINZI MKALI WA JESHI


Wamewasili: Kikosi cha England baada ya kuwasili Rio de Janeiro
KIKOSI cha England kimetuz Brazil leo baada ya safari ya saa nane na nusu angani tayari kwa Kombe la Dunia.
Vijana wa Roy Hodgson waliwasili majira ya saa 8.30 mchana mjini Rio de Janeiro baada ya kupaa katika anga ya Florida, Marekani usiku wa jana.
Baada ya kutua timu hiyo liana safari nyingine ya saa moja kuelekea hotel ini kwao, karibu na Ipanema Beach.


Three Lions: Nyota wa England, Wayne Rooney na Frank Lampard wakishuka kwenye ndege

Ulinzi: Wanajeshi wa Brazil wakiwa wamejipanga mstari nje ya hotel ya Royal Tulip wakati England wanawasili

No comments

Powered by Blogger.